Walinzi blacklist



Juma Hemed 
Husika na jina hapo juu si mfanyakazi tena wa kampuni yetu (KIWANGO SECURITY GUARD)
na anatafutwa nasi pia na jeshi la polisi kwa wizi wa mafuta ya generator katika moja ya lindo letu.
Hatutousika tena na lolote kuhusu nae na kwa nafasi hii tunaomba ushirikiano wako popote utakapo muona kwa kuwasiliana nasi tafadhari  kwa namba:+255 713 213060 , +255 715000550



Jumanne Idd 
Husika na jina hapo juu si mfanyakazi tena wa kampuni yetu (KIWANGO SECURITY GUARD)
na anatafutwa nasi pia na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumjeruhi mteja na kusababisha uharibifu wa mali katika moja ya lindo letu.
Hatutousika tena na lolote kuhusu nae na kwa nafasi hii tunaomba ushirikiano wako popote utakapo muona kwa kuwasiliana nasi tafadhari  kwa namba:+255 713 213060 , +255 715000550


No comments:

Post a Comment